- 1,815 viewsGavana wa Kaunti ya Kisumu, Kenya, amejitokeza kulaani utekaji uliofanyika. Amesema wazi kuwa serikali ya kaunti haikuhusishwa. Hayo yameelezwa na Meya wa Mji wa Kampala,Elias Lukwago ambaye anasema gavana huyo pia anataka maelezo kamili kujua kwa nini wanajeshi wa Uganda waliivamia Kisumu na kuwakamata "wenzetu 33." Naye makamu wa rais wa chama cha upinzani Uganda FDC, Salam Musumba alisema: Viongozi hao wametekwa, katika karne hii ya 21 wametekwa, Tutawasilisha barua yetu ya malalamiko Ubalozi wa Kenya nchini Uganda, alieleza. "Na kuwajulisha kuhusu utekaji kinyume cha sheria na wa kikatili Utekaji wa viongozi 36 wa chama cha FDC," makamu rais alieleza. Kwa mujibu wa uongozi wa FDC wakati wakikamatwa viongozi hao walikuwa katika Kituo cha Umma cha Uchungaji mjini Kisumu ambako walikuwa wanahudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa mikakati ya masuala ya siasa kwa wiki moja. #uganda #kenya #kisumu #fdc #upinzani #meya #kampala #polisi #ugaidi #ibrahimssemujjunganda
Wanajeshi
- 13 Jul 2025 - Liberia's president was "honoured" to meet US counterpart Donald Trump this week and wasn't offended by Trump's comment about his fluency in English -- his mother tongue -- Liberia's foreign minister said on Friday.
- 13 Jul 2025 - An Israeli-American businessman, a former State Department official and a decorated Green Beret pitched up in the Democratic Republic of Congo in March with a message for President Felix Tshisekedi from the Trump administration.
- 13 Jul 2025 - Nigeria on Saturday slapped 44 Boko Haram jihadists with jail terms of up to 30 years for funding terrorist activities, a spokesman for a counterterrorism agency said.
- 13 Jul 2025 - "The doctoral thesis took me 6 years with COVID in between,” he said.
- 13 Jul 2025 - Two of them have already been charged in court.
- 13 Jul 2025 - He said the government will not allow opposition to use youths to save their dwindling political careers.
- 13 Jul 2025 - They have said the current guidance, which allows headteachers to decide how smartphones are used, is unlawful
- 13 Jul 2025 - President William Ruto’s administration has come under sharp criticism from the Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), as political temperatures begin to rise ahead of the 2027 general elections. In a scathing rebuke posted on its X account on Sunday…
- 13 Jul 2025 - Employer told not to present counter-proposal with no monetary benefits in new CBA.
- 13 Jul 2025 - Siaya County Governor James Orengo has led celebrations, praising Siaya school students for their stellar performances in the regional games. Taking to his X early Sunday morning, July 13, 2025, Orengo wrote, “Congratulations to Our Champions in the…