Skip to main content
Skip to main content

Wanajeshi wa Guinea-Bissau waipindua serikali na kumkamata Rais Embaló, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    75,565 views
    Duration: 28:10
    Rais wa Guinea-Bissau Umaro Sissoco Embaló amekamatwa na watu wenye silaha siku chache tu baada ya uchaguzi wenye utata ambapo upinzani ulizuiliwa kushiriki. Kundi la maafisa wa kijeshi wamesema wametwaa udhibiti wa Guinea-Bissau. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw