Wanamibia wafurahia kuchaguliwa rais wa kwanza mwanamke
Netumbo Nandi-Ndaitwah amekuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais nchini Namibia.
Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, aligombea urais kwa chama kinachotawala cha SWAPO.
Ushindi wake utaendeleza uitawala wa miaka 34 wa SWAPO madarakani, tangu Namibia ilipopata uhuru kutoka kwa Afrika kusini mwaka 1990.
Tume ya uchaguzi ya Namibia imetangaza matokeo rasmi yanayoonyesha kwamba amepata asilmia 57 ya kura.
Kulingana na katiba ya Namibia, mshindi wa kura za urais anahitajika kupata asilimia 50 ya kura.
Baada ya kutangazwa mshindi, Nandi – Ndaitwah amesema kwamba wapiga kura wa Namibia wamechagua amani na utulivu.
Amekuwa mwanachama wa SWAPO tangu miaka ya 1960 wakati chama hicho kilikuwa kinapigania uhuru na amehudumu katika nafasi mbalimbali za ngazi ya juu serikalini ikiwemo waiziri wa mambo ya nje.
Mshindani wake mkuu Panduleni Itula, wa chama cha Independent Patriots for Change (IPC), amemaliza katika nafasi ya pili kwa akiwa na asilimia 29 ya kura.
Chama cha IPC kimedai udanganyifu katika uchaguzi huo na kimesema kitapinga matokeo mahakamani.
Uchaguzi wa Nove 27 ulikumbwa na matatizo ya kiufundi na uhaba wa karatasi za kupigia kura na kupelekea matokeo kuchelewa kutangazwa.
- Vyanzo mbalimbali
#NetumboNandiNdaitwah #namibia #SWAPO #rais #uchaguzi #voa #voaswahili
13 Jan 2025
- Applications for the scholarships will be done through the Foreign Affairs Ministry.
13 Jan 2025
- This comes hours after news broke that the official had resigned from his post.
13 Jan 2025
- She said the abduction took place as she was leaving a salon.
14 Jan 2025
- In her book, The Making of a Judge, Ongeri says corruption is a major work hazard in the judiciary.
14 Jan 2025
- Mt Kenya was Ruto’s darling and he visited the region numerous until his fallout with Gachagua.
14 Jan 2025
- A section of Orange Democratic Movement MPs have vowed to break ranks with majority of their colleagues in the former Prime Minister Raila Odinga’s party and support their United Democratic Alliance counterparts to push for President William Ruto’s…
14 Jan 2025
- Nairobi County continues to rely on a manual payroll system that remains vulnerable to abuse and corruption, despite efforts to implement a fully automated system. A report by the Controller of Budget’s (COB) for the first quarter of the Financial Year…
14 Jan 2025
- Jihadists have killed at least 40 farmers in Nigeria's northeastern Borno state in the latest violence to hit the conflict-wrought region, a government official said Monday.
14 Jan 2025
- The seat of Sudan's army-aligned government was without power on Monday, AFP correspondents said, after a drone attack blamed on paramilitaries hit a major hydroelectric dam in the war-torn country's north.
14 Jan 2025
- Blue Origin, the space company founded by billionaire Jeff Bezos, hopes to launch its huge new rocket early Tuesday morning, but has flagged lousy overnight weather could mean a scrubbed lift-off for a second straight day.
14 Jan 2025
- Damage from extreme weather in Canada last year pushed the bill facing insurers to an unprecedented CAN$8.5 billion ($5.9 billion), the Insurance Bureau of Canada said Monday. Previously, the most costly year for Canadian insurers was 2016, when a…
14 Jan 2025
- A 6.8-magnitude earthquake struck off southwestern Japan late on Monday, causing small tsunamis in the area but no major damage was reported.
14 Jan 2025
- Donald Trump's second presidential term promises a return to tariffs as he pressures partners and rivals to tackle everything from migration to drug trafficking, while protecting US industries -- in moves that could trigger new trade wars.