Wanamibia wafurahia kuchaguliwa rais wa kwanza mwanamke
Netumbo Nandi-Ndaitwah amekuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais nchini Namibia.
Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, aligombea urais kwa chama kinachotawala cha SWAPO.
Ushindi wake utaendeleza uitawala wa miaka 34 wa SWAPO madarakani, tangu Namibia ilipopata uhuru kutoka kwa Afrika kusini mwaka 1990.
Tume ya uchaguzi ya Namibia imetangaza matokeo rasmi yanayoonyesha kwamba amepata asilmia 57 ya kura.
Kulingana na katiba ya Namibia, mshindi wa kura za urais anahitajika kupata asilimia 50 ya kura.
Baada ya kutangazwa mshindi, Nandi – Ndaitwah amesema kwamba wapiga kura wa Namibia wamechagua amani na utulivu.
Amekuwa mwanachama wa SWAPO tangu miaka ya 1960 wakati chama hicho kilikuwa kinapigania uhuru na amehudumu katika nafasi mbalimbali za ngazi ya juu serikalini ikiwemo waiziri wa mambo ya nje.
Mshindani wake mkuu Panduleni Itula, wa chama cha Independent Patriots for Change (IPC), amemaliza katika nafasi ya pili kwa akiwa na asilimia 29 ya kura.
Chama cha IPC kimedai udanganyifu katika uchaguzi huo na kimesema kitapinga matokeo mahakamani.
Uchaguzi wa Nove 27 ulikumbwa na matatizo ya kiufundi na uhaba wa karatasi za kupigia kura na kupelekea matokeo kuchelewa kutangazwa.
- Vyanzo mbalimbali
#NetumboNandiNdaitwah #namibia #SWAPO #rais #uchaguzi #voa #voaswahili
13 Jul 2025
- Two of them have already been charged in court.
13 Jul 2025
- The governor accuses Malala of spreading defamatory statements.
13 Jul 2025
- Several politicians and businesspeople alike graced the high-profile event.
13 Jul 2025
- Liberia's president was "honoured" to meet US counterpart Donald Trump this week and wasn't offended by Trump's comment about his fluency in English -- his mother tongue -- Liberia's foreign minister said on Friday.
13 Jul 2025
- An Israeli-American businessman, a former State Department official and a decorated Green Beret pitched up in the Democratic Republic of Congo in March with a message for President Felix Tshisekedi from the Trump administration.
13 Jul 2025
- Nigeria on Saturday slapped 44 Boko Haram jihadists with jail terms of up to 30 years for funding terrorist activities, a spokesman for a counterterrorism agency said.
13 Jul 2025
- "The doctoral thesis took me 6 years with COVID in between,” he said.
13 Jul 2025
- Two of them have already been charged in court.
13 Jul 2025
- He said the government will not allow opposition to use youths to save their dwindling political careers.
13 Jul 2025
- They have said the current guidance, which allows headteachers to decide how smartphones are used, is unlawful
13 Jul 2025
- President William Ruto’s administration has come under sharp criticism from the Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), as political temperatures begin to rise ahead of the 2027 general elections. In a scathing rebuke posted on its X account on Sunday…
13 Jul 2025
- Employer told not to present counter-proposal with no monetary benefits in new CBA.
13 Jul 2025
- Siaya County Governor James Orengo has led celebrations, praising Siaya school students for their stellar performances in the regional games. Taking to his X early Sunday morning, July 13, 2025, Orengo wrote, “Congratulations to Our Champions in the…