- 1,348 viewsMaelfu ya waumini wa Kikristo wameandamana Jumapili kote nchini DRC kulaani ghasia za kivita zinazofanyika mikoa ya mashariki ya nchi hiyo. Wakati huohuo viongozi wa kanisa wahimiza Umoja wa Mataifa kutofumbia macho madai ya kwamba nchi ya Rwanda inawasaidia waasi wa M23 huku wakiomba mauaji yakomeshwe katika maeneo ya mashariki ya nchi hiyo. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Wananchi waitaka UN kutofumbia macho madai kuwa Rwanda inawasaidia waasi wa M23
- 19 Apr 2024 - Six persons charged with the murder of former Juja Member of Parliament George Thuo in 2013 have been convicted.
- 19 Apr 2024 - A section of city leaders allied to the Kenya Kwanza government have slammed Nairobi Governor Johnson Sakaja's administration, emphasising that it will be remembered in Kenya's history as the most incompetent and morally degenerate county government.
- 19 Apr 2024 - The crash killed Chief of Defence Forces General Francis Ogolla and nine others.
- » KNCHR says Elgeyo Marakwet chopper crash should serve as catalyst in achieving peace in West Pokot19 Apr 2024 - KNCHR described him as a selfless leader who was determined and committed to protecting the country and upholding peace and security.
- 19 Apr 2024 - Azimio la Umoja One Kenya alliance leader Raila Odinga has called for a thorough investigation into the chopper accident that claimed the life of departed Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla. In a statement on April 19, 2024, Raila…
- 19 Apr 2024 - The news of the demise of Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Omondi Ogolla sent shockwaves across the country for a better part of Thursday, April 18, 2024. Ogolla tragically lost his life alongside nine other military officials in a…
- 19 Apr 2024 - The female officer was approached by the armed thugs seeking to gain access to the office.
- 19 Apr 2024 - They claimed suspended members in the splinter group are impersonating their officials.
- 19 Apr 2024 - Brigadier Said was among the 10 senior milliary officers who lost their lives in the crash.
- 19 Apr 2024 - As Kenyans mourn the passing of Chief of Defence Forces General Francis Ogolla who died in a tragic helicopter crash on Thursday, two families from Kirinyaga are also grieving the loss of their kin who were among the nine military personnel killed…