Skip to main content
Skip to main content

Wanasiasa watakiwa kuhubiri injli ya kukomesha ukeketaji Narok

  • | Citizen TV
    50 views
    Mirindimo ya kisiasa inapozidi kushika kasi uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 unapokaribia, wanaharakati dhidi ya dhulma kwa wasichana wamehimiza wanasiasa Kaunti ya Narok kuchangia kutoa hamasa dhidi ya ukeketaji.