6 Feb 2026 1:35 pm | Citizen TV 50 views Mirindimo ya kisiasa inapozidi kushika kasi uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 unapokaribia, wanaharakati dhidi ya dhulma kwa wasichana wamehimiza wanasiasa Kaunti ya Narok kuchangia kutoa hamasa dhidi ya ukeketaji.