Skip to main content
Skip to main content

Wanawake ndogondogo jijini Nairobi wafanyabiashara wataka watetezi wa haki walindwe

  • | Citizen TV
    199 views
    Duration: 1:12
    Wanawake wa wafanyabiashara ndogondogo jijini Nairobi waitaka serikali kulinda haki ya wananchi wapiganiao uwajibikaji katika masuala ya utawala nchini, wakidai kuwa vitisho,na unyanyasaji dhidi ya watetezi hao wa haki vinazidi kuongezeka nchini.Wakizungumza jijini Nairobi, wanawake hao wasema vitendo hivyo vyadhoofisha uwajibikaji na kuwanyima wananchi fursa ya kudai uwazi katika matumizi ya rasilimali za umma ..