- 253 views
Kinyume na awali ambapo walikosa kurejea mashinani kwa kushiriki kumng’atua aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua afisini, Wandani wa Rais William Ruto katika kaunti ya Nyeri wameonekana kurejea mashinani kwa kishindo, kutetea sera za serikali ya Kenya Kwanza. Wakiongozwa na katibu katika wizara ya Kawi Alex Wachira, Viongozi hao ambao wameanzisha vikao vya Faragha na wakaazi wa kaunti hiyo, wamewataka wakazi kutoshurutishwa kujitenga na serikali, ila wajitahidi kuiunga serikali mkono kwa manufaa yao.Juhudi hizo zinazoonekana kupata kasi baada ya ziara ya Rais William Ruto eneo la kati majuma matatu yaliyopita, zinanogeshwa huku akitarajiwa tena eneo hili mwezi wa nane.
Wandani wa Rais Ruto kaunti ya Nyeri watetea utendakazi wa serikali
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted