- 994 viewsWiki hii tunaangazia baraza la wawakilishi la Marekani ambalo limejikuta kwenye hali tete, na huenda lisiwe na kiongozi kwa takriban wiki moja kufuatia kuondolewa kwa spika Kevin McCarthy. Hii ni hatua ya kihistoria ambapo hali hii ilijiri baada ya warepablikan walioasi kupiga kura kumuondoa katika wadhifa wake. Je hatua hiyo itakiathiri chama cha Republikan au hata siasa za Marekani kwa ujumla? #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
WASHINGTON BUREAU - TAHARUKI BUNGENI MAREKANI BAADA YA SPIKA KUONDOLEWA
- 2 May 2024 - Over 1,000 households in Kibra Constituency affected by the ongoing floods on Wednesday received food distributions from First Lady Rachel Ruto.
- 2 May 2024 - The Kenya Meteorological Services has issued a continued heavy rainfall and strong winds advisory starting from Thursday through to Monday next week.
- 2 May 2024 - KenGen has allayed fears of Masinga Dam bursting its banks due to the ongoing heavy rains amidst fears of an overflow.
- 2 May 2024 - Efforts to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi gained pace on Thursday after the National Assembly formed a Select Committee to investigate allegations against him.
- 2 May 2024 - The government is now warning that Cyclone Hidaya may soon hit the Coastal region amid the heavy rains presently being witnessed across the country.
- 2 May 2024 - A court assistant in Migori County is set to face charges for allegedly demanding a bribe in order to help an accused person secure a lighter sentence in a criminal case.
- 2 May 2024 - The National Transport and Safety Authority (NTSA) has revoked the licences of 64 Public Transport Operators (PTOs) plying various routes across the country.
- 2 May 2024 - Nairobi, Nakuru, Mombasa and Murang'a are among the areas affected.
- 2 May 2024 - This is the second time in six months the country is facing a blackout.
- 2 May 2024 - Primary education and higher education are among areas in the education sector with the largest budget cuts in the proposed budget for the 2024/2025 financial year.