- 6,222 viewsDuration: 3:42Maafisa wa DCI wamewakamata washukiwa watatu wanaohusishwa na wizi wa kimabavu kwenye maeneo ya burudani katika kaunti za Nairobi, Kiambu na Kajiado. Kwa mujibu wa polisi, washukiwa wamekuwa wakivamia maeneo ya kuuza pombe, kuwajeruhi wenye biashara, kuiba mali na wakati mwengine kuua waathiriwa..