Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa watatu wakamatwa kuhusiana na uvamizi wa Seneta Osotsi Kisumu

  • | Citizen TV
    6,251 views
    Duration: 3:24
    Washukiwa watatu wamekamatwa kuhusiana na uvamizi wa Seneta wa Vihiga, Godfrey Osotsi, mjini Kisumu hapo jana. Watatu hao waliotambulika na maafisa wa upelelezi wamekamatwa huku Seneta Osotsi aliyelazwa hospitalini akisifulia yaliyomsibu. Viongozi wa upinzani waliomtembelea seneta huyo hospitalini wakishutumu tukio hilo.