- 356 viewsDuration: 3:09Wasichana ambao ni wanachama wa Kenya Girl Guides wamejitokeza kuzungumzia changamoto zinazowakumba wasichana zikiwemo mimba za utotoni na dhulma dhidi yao. Changamoto hizi zikiathiri pakubwa elimu ya wasichana katika kaunti ya Homa bay. Walikuwa wakizungumza huko Homa Bay katika hafla ya kumbukumbu ya mwanzilishi wa chama cha Kenya Girl Guide nchini.