- 4,510 viewsDuration: 2:26Wasiwasi kuhusu usiri wa taarifa za kidijitali waendelea kuongezeka huku Wakenya wengi wakisambaza taarifa zao binafsi mtandaoni. Mshauri wa masuala ya usalama, George Musamali, awaonya wananchi kuwa waangalifu, akionya kuwa alama za kidijitali zaweza kutumiwa kwa urahisi kufuatilia watu.