Skip to main content
Skip to main content

Watahiniwa 993,226 walifanya mtihani wa KCSE 2025

  • | Citizen TV
    442 views
    Duration: 2:55
    Zaidi ya watahiniwa laki mbili na sabini wa mtihani wa KCSE wa mwaka jana watajiunga na vyuo vikuu moja kwa moja. Akitangaza matokeo hii leo, waziri wa elimu Migos Ogamba alibaini kuwa watahiniwa 1,932 walipata alama ya A, ikiwa idadi ya juu ikilingansihwa na mwaka wa 2024.