Skip to main content
Skip to main content

Watahiniwa wa KJSEA na KPSEA wapewa vifaa vya mitihani Mumias

  • | Citizen TV
    283 views
    Duration: 1:23
    Huku watahiniwa wa mitihani ya kitaifa wakiendelea na mitihani kwa siku ya pili, wito umetolewa kwa wazazi kuwapa muda mwafaka wa kudurusu vitabu vyao na kuhakikisha kuwa wanawapa vifaa vyote vya kutumia wakati wa mtihani huo.