- 1,055 viewsDuration: 3:45Watu watatu wanaendelea kuguza majerahaa katika kijiji cha Kapkanyar eneo bunge la Marakwet West ,kaunti ya Elgeyo Marakwet baada ya kuvamiwa usiku wa manane na nyumba zao kuchomwa kwenye mzozo wa shamba. Nyumba nane na mali ya mamilioni ya pesa iliharabiwa.