- 5,843 viewsDuration: 1:24Watu watano wamefariki kwenye ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Kikopey,Gilgil Kaunti ya Nakuru usiku wa kuamkia Jumatatu.Miongoni mwa waliofariki ni ndugu wawili na watoto wawili ambao walikuwa wanatoka Seme kaunti ya Kisumu kwa mazishi ya mama yao