Skip to main content
Skip to main content

Watu wa jamii ya Turkana wadai kupuuzwa na kaunti jirani

  • | Citizen TV
    133 views
    Duration: 3:02
    Jamii ya waturkana wanaoishi katika kaunti ya Samburu, Isiolo, Marsabit na Laikipia wamelalamikia kubaguliwa katika maswala ya ajira, wakitaka kujumuishwa Serikalini