Skip to main content
Skip to main content

Watu wachache mno wasajiliwa kama wapigakura Runyenjes, Embu

  • | Citizen TV
    286 views
    Duration: 2:16
    idadi ndogo ya wapiga kura wapya imesajiliwa katika eneo la Runyenjes kaunti ya embu, huku Mbunge wa Manyatta Gitonga Mukunji akihusisha hali hiyo na mashine chache za usajili . Mukunji anasema kuwa mashine tatu pekee kwa kila wadi hazitoshi, na hivyo zinawafungia nje wapigakura wengi hasa vijana na wale wanaoishi maeneo ya mashambani.