- 23,460 viewsDuration: 1:59Watu waliojihami wakiandamana na maafisa wa polisi na mawakala wa benki wavamia mkahawa wa hotspot coffee mtaani lang'ata kaunti ya Nairobi na kundoka na mali yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 20 kwa madai kuwa mmiliki hajakuwa akilipa kodi..