- 1,051 viewsDuration: 2:02Watu watatu wamefariki na wengine wawili kujeruhiwa baada ya nyumba kuporomoka mtaani Kibera hapa Nairobi. Kwa mujibu wa polisi, miongoni mwa waliofariki ni vijana wa kuokota vyuma vikuukuu. Juhudi za kuwatafuta waathirika zaidi imeendelea hadi jioni hii.