Skip to main content
Skip to main content

Watu watatu wapigwa risasi na polisi mtaani Huruma wakati wa maandamano ya mauaji ya mwanafunzi

  • | Citizen TV
    6,922 views
    Duration: 1:58
    Watu watatu wamepigwa risasi na maafisa wa polisi mtaani huruma kwenye zogo la punde zaidi mtaani humo.watatu hao walipigwa risasi na kuwachwa na majeraha wakati polisi walikuwa wakikabiliana na kundi la waandamanaji waliokuwa wakilalamikia mauaji ya mwanafunzi aliyeuawa wiki jana.