Skip to main content
Skip to main content

Watu wawili wauawa Kimwani, Nandi kufuatia mzozo wa ardhi

  • | Citizen TV
    3,542 views
    Duration: 3:13
    Watu wawili wamepigwa risasi na kuuawa na maafisa wa usalama eneo la Kimwani kaunti ya Nandi kufuatia mzozo wa ardhi eneo hilo. Kwa mujibu wa maafisa wa polisi, zaidi ya vijana mia sita wanadaiwa kuvamia shamba hilo kwa lengo la kuwafurusha waliokuwa wakiishi eneo hilo wakidai shamba hilo lilinyakuliwa zaidi ya miongo minne iliyopita