- 355 views
Hali ya taharuki imetanda kaunti ya Baringo baada ya watu wawili kupigwa risasi eneo la Loberer kwenye barabara ya Marigat kuelekea Chemolingot. Waliouawa ni dereva wa lori na mfanyiabiashara waliokuwa wakielekea katika soko la mifugo la Nginyang. Wananchi waliokuwa na ghadhabu walikusanyika na kufunga barabara ya Marigat - Nakuru huku wakitaka serikali kuwajibikia usalama wao. viongozi wa baringo na wananchi wanalaumu walinda usalama kwa kuzembea kazini na kuitisha hongo barabarani badala ya kukabiliana na wahalifu. Hata hivyo Kamishna wa Baringo Sangolo Kutwa amesema kuwa polisi wamepata ushahidi wa kutosha na watawakamata wahusika wa mauaji hayo.
Watu wawili wauawa kwenye uvamizi wa punde eneo la Loberer barabara ya Marigat-Chemolingot
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 2 May 2025 - Nigerian billionaire Aliko Dangote said on Thursday he was "comfortable" with the impact President Donald Trump's tariffs would have on his urea exports to the U.S. because major competitor Algeria had been slapped with a higher levy.
- 2 May 2025 - Will Fred Matiang'i navigate rough and tumble of Kenyan politics?
- 2 May 2025 - Kasipul MP Ong'ondo Were's death exposes simmering war between citizens and ruling elite
- 2 May 2025 - Finance Bill 2025 will trigger a spike in cost of goods, experts say
- 2 May 2025 - Kasipul MP Were joins long list of leaders killed in office
- 2 May 2025 - After jobs hoax in UAE, it's fair for Kenyans to say in unison: 'Hapa hatuna nchi'
- 2 May 2025 - NLC's ill-fated move to withdraw Angata titles led to protests
- 2 May 2025 - How employers are denying their workers permanent jobs
- 2 May 2025 - Showdown looms as banks reject CBK's cheap loans reform plan
- 2 May 2025 - The President directed the Labour CS to facilitate employees on contract to join unions as he underscored what he termed as the States milestones.