Watu wenye silaha watishia mtangazaji kwenye TV hewani

  • | BBC Swahili
    545 views
    Matangazo ya moja kwa moja ya kituo cha televisheni nchini Ecuador yalivamiwa siku ya Jumanne na kundi la watu wenye silaha waliokuwa wamefunika sura zao. Waliingia katika kituo cha runinga cha TC, na kuwalazimisha wafanyikazi wakae chini. Tukio hili lilitokea siku moja baada ya hali ya hatari ya siku 60 kutangazwa kufuatia kutoweka kwa jambazi maarufu kutoka gerezani. #bbcswahili #ecuador #televisheni Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw