Watu wenye silaha watishia mtangazaji kwenye TV hewani
Matangazo ya moja kwa moja ya kituo cha televisheni nchini Ecuador yalivamiwa siku ya Jumanne na kundi la watu wenye silaha waliokuwa wamefunika sura zao.
Waliingia katika kituo cha runinga cha TC, na kuwalazimisha wafanyikazi wakae chini.
Tukio hili lilitokea siku moja baada ya hali ya hatari ya siku 60 kutangazwa kufuatia kutoweka kwa jambazi maarufu kutoka gerezani.
#bbcswahili #ecuador #televisheni
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
28 Apr 2024
- The Deputy President led the negotiations that involved a groom from Western Kenya.
28 Apr 2024
- This was due to heavy downpour that hit the capital on Saturday evening.
28 Apr 2024
- In one of the incidents, a military officer stormed a police station, beat up police officers and set a prisoner free.
28 Apr 2024
- Mrs Ruto’s comments have left no doubt that faith is at the core of the nation’s wellbeing.
28 Apr 2024
- The Deputy President led the negotiations that involved a groom from Western Kenya.
28 Apr 2024
- The new Polish government has vowed a "more humanitarian" border policy.
28 Apr 2024
- This was due to heavy downpour that hit the capital on Saturday evening.
28 Apr 2024
- 76 people confirmed dead as a result of raging floods in last 12 hours
28 Apr 2024
- Widow recounts fond memories as Col Keitany is laid to rest
28 Apr 2024
- Observers believe the demise of Ogolla has lost a nut of trust in Kenya Kwanza government.
28 Apr 2024
- Mr Sanchez will announce the decision on his future on Monday.
28 Apr 2024
- In one of the incidents, a military officer stormed a police station, beat up police officers and set a prisoner free.
28 Apr 2024
- The 14 Bell Huey II helicopters similar to the General Ogolla perished were donated to Kenya by the US.