Skip to main content
Skip to main content

Wauguzi kaunti ya Embu watishia kuanza mgomo baada ya siku 7

  • | Citizen TV
    101 views
    Huduma za afya katika Kaunti ya Embu huenda zikatatizika baada ya wauguzi kutoa notisi ya mgomo wa siku saba kwa serikali ya kaunti wakilalamikia kutotekelezwa kwa makubaliano yaliyofikiwa mwaka 2024.