Skip to main content
Skip to main content

Waumini wa katoliki wafanya matembezi ya njia ya msalaba Bungoma

  • | Citizen TV
    545 views
    Duration: 1:12
    ‎Waumini wa Kanisa Katoliki mjini Bungoma wakiongozwa na Padre mkuu wa Christ the King , Jeremiah Manuni, wamefanya matembezi ya kufuata njia ya msalaba , ili kukumbuka mateso, kufa na ufufuko wake Yesu Kristu.