- 138 views
Wavuvi kutoka Ufuo wa Sori kaunti ya Migori wameelezea wasiwasi wao kufuatia hali duni ya matayarisho Kutoka kwa Serikali kuu na ile ya kaunti kuhusu mvua ya El-Nino inayotarajiwa nchini. Wakizungumza katika Ufuo huo, wavuvi hao walikiri kuwa hawajaweza kupata mafunzo yoyote kuhusu athari ya mvua hiyo na pia wanahofia hasara kubwa wakati wa mvua hiyo. Sasa wanataka serikali kufanya hima kuwapa hamasisho ya namna ya kujilinda na mvua hiyo.
Wavuvi kutoka ufuo wa Sori, Migori, wanalalamikia hali duni ya matayarisho ya El-Nino
- 22 Jul 2025 - The Trump administration released hundreds of thousands of pages of records on Monday about the assassination of Martin Luther King Jr. despite concerns from the civil rights leader's family.
- 22 Jul 2025 - The government says police have rescued four individuals and are investigating the mysterious deaths of at least three others in a suspected case of religious radicalisation in the Binzaro village of Chakama, Kilifi County.
- 22 Jul 2025 - The families of victims of South Korea's deadliest plane crash on home soil have denounced a government report which blamed the disaster on pilot error, a representative told AFP Tuesday.
- 22 Jul 2025 - ODM leaders have slammed the opposition brigade for rejecting an intergenerational dialogue proposed by former Prime Minister Raila Odinga.
- 22 Jul 2025 - The traffic crisis in the country's capital has been on the rise.
- 22 Jul 2025 - The F-7 BGI aircraft crashed soon after it took off... The military said the plane experienced a mechanical failure.
- 22 Jul 2025 - Murkomen noted that DCI officers have already commenced further investigations into the matter.
- 22 Jul 2025 - The openings span 14 job categories in areas such as engineering, construction, surveying, planning, renewable energy, and law.
- 22 Jul 2025 - Nominated Member of Parliament (MP) Sabina Chege has stated that disrupting essential services can be classified as an act
- 22 Jul 2025 - Other prominent government officials also made contributions.