Wazaliwa wa Arusha tunapenda pikipiki
Umoja wa vijana waendesha pikipiki kwa ajili ya mchezo katika jiji la Arusha nchini Tanzania wamenuia kubadili sifa mbaya wanazopewa wandesha pikipiki kwa kuonesha fursa zitokanazo na mchezo huo badala ya kufanya uhalifu.
Pikipiki maarufu kama boda boda nchini Tanzania zimerahisisha kwa kiasi kikubwa shughuli za usafirishaji wa abiria na vifurishi hasa kwenye miji yenye msongamano kama Dar es salaam na maeneo ya vijijini ambako miundombini ni mibovu.
Lakini takwimu zinaonesha kati ya mwaka 2022 na 2024 watu zaidi ya 10000 wamepoteza maisha kutokana na ajali zilizosababishwa na bodaboda.
Mwandishi wa BBC @eagansalla_gifted_sounds akiwa Jijini Arusha alituandalia taarifa hii
#bbcswahili #tanzania #bodaboda
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
5 Jul 2025
- Doctors have credited the 'folds' with playing a crucial role in one's hearing.
5 Jul 2025
- Gachagua said this during her aunt's burial ceremony.
5 Jul 2025
- ODM was responding to The Standard Media's 'Raila's Turf Rebels' article.
6 Jul 2025
- Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
6 Jul 2025
- Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
6 Jul 2025
- Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
6 Jul 2025
- The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
6 Jul 2025
- Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
6 Jul 2025
- Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
6 Jul 2025
- Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
6 Jul 2025
- Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
6 Jul 2025
- Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
6 Jul 2025
- Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction