Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa Agikuyu wapinga ujenzi wa nyumba Githunguri

  • | Citizen TV
    7,466 views
    Duration: 2:58
    Polisi walitumia vitoza machozi kuwatawanya wazee wa jamii ya Agikuyu ambao walikuwa wakifanya matambiko ya kupinga ujenzi wa nyumba za bei nafuu katika kipande cha ardhi cha ekari 58 huko Githunguri, kaunti ya Kiambu. Wazee hao wanasema ardhi hiyo ni madhabahu ya kitamaduni na wameapa kupinga ujenzi wa nyumba hizo katika ardhi hiyo.