Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa jamii ya maa kajiado wataka rais William Ruto atimize ahadi kuhusu usimamizi wa Amboseli

  • | Citizen TV
    626 views
    Duration: 3:34
    Baraza la wazee kutoka Jamii ya Maa watishia kuongoza jamii hiyo kutounga mkono azma ya rais William Ruto kutetea muhula wake wa pili ofisini Iwapo mzozo uzingirao uhamisho wa usimamizi wa mbuga ya Kitaifa ya Amboseli hadi serikali ya kaunti ya Kajiado hautatuliwa