Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa jamii ya waswahili Mombasa walalamika kuachwa nje katika maswala ya kitaifa

  • | Citizen TV
    1,622 views
    Duration: 1:39
    Wazee wa jamii ya waswahili kaunti ya Mombasa wamelalamikia kuachwa nje katika masuala ya kitaifa na ya kaunti. Wakizungumza katika mtaa wa old town, wazee hao wanadai vijana kutoka jamii hiyo wanatengwa kwenye nafasi za kazi, suala ambalo wanadai linachangia kuwepo kwa magenge ya wahalifu. Sasa wanataka serikali kuu na ile ya kaunti kuhakikisha vijana wamepata ajira ili kukabiliana na matatizo yanayowakumba.