Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa Kiptoror walalamikia uvamizi wa wahalifu na wauzaji wa pombe haramu

  • | Citizen TV
    136 views
    Duration: 1:56
    Wazee wa kijiji cha Kiptoror mpakani mwa kaunti ya Elgeyo Marakwet na Trans Nzoia wana wasiwasi kufuatia kuvamiwa kwa mmoja ambaye aliumizwa vibaya na wagemaji na watumizi wa pombe haramu katika eneo hilo.