Skip to main content
Skip to main content

WAZIRI MIANO AFUNGUA RASMI USAJILI WA AWAMU YA KWANZA RONALD NGALA UTALII

  • | KNA Video
    241 views
    Duration: 2:37
    Zaidi ya wanafunzi 200 wamejiunga na Chuo cha Kadri cha Ronald Ngala Utalii baada ya Waziri wa Utalii na Wanyamapori Rebecca Miano kufungua rasmi awamu ya kwanza ya usajili. Serikali imesema makubaliano na kampuni ya meli yatawezesha wahitimu kuajiriwa moja kwa moja.