Skip to main content
Skip to main content

Waziri Ogamba akariri ahadi ya serikali ya kuimarisha elimu ya juu

  • | KBC Video
    352 views
    Duration: 3:46
    Waziri wa elimu Julius Migos Ogamba amethibitisha dhamira ya serikali ya kuimarisha elimu ya juu, maslahi ya wafanyakazi wa vyuo vikuu pamoja na kuhakikisha kuwa masomo yanaambatana na ukuaji wa teknologia ya digitali. Waziri Ogamba amesema kuwa serikali tayari imelipa shilingi bilioni 7.9 chini ya mktaba wa makubaliano wa mwaka 2017-2021 ya wahadhiri wa vyuo vikuu, huku malimbikizi yaliosalia akisema yatalipwa katika mwaka wa kifedha wa 2026-2027 Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive