9 Apr 2026 1:39 pm | Citizen TV 219 views Duration: 1:11 Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ameahidi wakazi wa Mwingi ya Kati kuwa ujenzi wa daraja la Mto Enziu utakamilika haraka iwezekanavyo, akisema kuwa kuna fedha za kutosha za kukamilisha mradi huo.