Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ameahidi ujenzi wa daraja la Mto Enziu utakamilika haraka

  • | Citizen TV
    219 views
    Duration: 1:11
    Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen ameahidi wakazi wa Mwingi ya Kati kuwa ujenzi wa daraja la Mto Enziu utakamilika haraka iwezekanavyo, akisema kuwa kuna fedha za kutosha za kukamilisha mradi huo.