Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania inalenga kupita hatua ya makundi ya dimba la Afcon kwa mara ya kwanza katika historia yake.
Wakati timu hiyo ikijiandaa na pambano dhidi ya Morocco hiyo kesho , mwandishi wa michezo wa BBC Kelvin Kimathi anaangazia jinsi ambavyo nyota wa muziki wa Bongofleva, wanavyochangia kuboresha na kuinua viwango vya soka ya vilabu nchini humo.
📸: Nandy
#bbcswahili #tanzania #afcon
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
18 Aug 2025
- President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
18 Aug 2025
- The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.