"Wimbo unasababisha pia watu kuhamia kwenye timu" - Nandy

  • | BBC Swahili
    760 views
    Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania inalenga kupita hatua ya makundi ya dimba la Afcon kwa mara ya kwanza katika historia yake. Wakati timu hiyo ikijiandaa na pambano dhidi ya Morocco hiyo kesho , mwandishi wa michezo wa BBC Kelvin Kimathi anaangazia jinsi ambavyo nyota wa muziki wa Bongofleva, wanavyochangia kuboresha na kuinua viwango vya soka ya vilabu nchini humo. 📸: Nandy #bbcswahili #tanzania #afcon Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw