- 52 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
ZULIA JEKUNDU - TAMASHA LA MITINDO YA KIAFRIKA MAREKANI
- » Crisis at Moi University, University of Nairobi raises concern on fate of Kenya’s higher education15 May 2025 - Two of Kenya’s most prominent public universities, Moi University and the University of Nairobi (UoN) are deep in crisis, raising red flags about the state and future of higher education in the country.
- 15 May 2025 - Interior CS Kipchumba Murkomen has urged leaders to notify the police of planned political activities to provide adequate security following the chaos that erupted during the unveiling of Rigathi Gachagua's outfit, the Democracy for the Citizens Party (…
- » Governors endorse privatization of sugar factories as private sector to inject Ksh.12 billion investment15 May 2025 - The Council of Governors (COG) has backed the government's decision to lease four major sugar factories to private investors, marking a significant endorsement of the ongoing sugar sector reforms in the country.
- 15 May 2025 - The expansion of the Rironi-Mau Summit Road into a dual carriageway will commence this July, Deputy President Kithure Kindiki announced on Thursday.
- 15 May 2025 - Kenya's electricity supply will not be interrupted despite several major dams exceeding their capacity, top energy officials confirmed on Thursday.
- 15 May 2025 - EACC on Wednesday arrested three directors of Ramagon Construction Company Limited in an ongoing probe on the under siege Matili Technical Training Institute (MTTI) which is facing auction.
- 15 May 2025 - The government has unveiled a multi-agency team that will consolidate existing registers for all students in the country, from early childhood to university level, into a single integrated database.
- 15 May 2025 - The highway will help address the prevalent congestion along the major highway.
- 15 May 2025 - Former Public Service Cabinet Secretary Justin Muturi has revealed the turning point in his relationship with President William Ruto. Taking to his official X account on the evening of Thursday, May 15, 2025, Muturi disclosed that Ruto ceased responding…
- 15 May 2025 - The Ministry of Agriculture has secured a Ksh. 12.29 billion investment to go towards the revival of Nzoia Sugar, Chemilil Sugar, Sony Sugar, and Muhoroni Sugar.