- 278 viewsMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Fedha IMF, Kristalina Georgieva yuko nchini Rwanda kwa ziara ya siku tatu. Akiwa mjini Kigali amekutana na mawaziri wa fedha pamoja na magavana wa benki kuu za Rwanda, Uganda, Kenya na Sudan Kusini. Sikiliza nasaha zake kwa nchi za Kiafrika: "Kwa kifupi hakuna pesa za umma za kutosha kufadhili hatua za kurekebisha na kupunguza athari za mabadiliko ya hali ya hewa. Tunazungumzia trilioni ambazo ni muhimu na tunajadili mabilioni ya fedha zilizopo. Bila ya kutumia mabilioni kutengeneza mazingira mazuri kwa uwekezaji binafsi, hatuwezi kufikia, hatutafika popote. Wakati tumekaa katika chumba hiki sisi bado tumegawanyika, na nakiri, hivi ndivyo ilivyo. Benki ya Dunia inafanya hiki, Benki ya Maendeleo ya Afrika inafanya kile, kila mmoja ana mradi, yote hiyo ni mizuri sana. Lakini haisongi mbele," #imf #shirikalafedhalakimataifa #mkurugenzimkuu #kristalinageorgieva #kigali #rwanda #magavana #mawaziriwafedha #voa #voaswahili #dunianileo #benkiyadunia #benkiyamaendeleoyaafrika - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
IMF yaeleza ufadhili wa urekebishaji na upunguzaji athari za mabadiliko ya hali ya hewa
- » MP Koech: Officers who included Kemosi in list of ambassadorial appointees should be held accountable6 May 2024 - Belgut MP Nelson Koech wants officers who included the name of Kenya's High Commissioner to Ghana nominee, Vincent Kemosi, in the appointee list to be held accountable.
- 6 May 2024 - The government has warned schools across the country against re-opening following the flood crisis occasioned by the ongoing heavy rains.
- 6 May 2024 - The floods in Kenya continue to wreak havoc, killing people and leaving many others displaced.
- 6 May 2024 - The special ATM is referred to as the e-voucher and is a form of an e-wallet.
- 6 May 2024 - Dozens of families are still marooned in their homes within Nyando sub-county as rescue efforts continue to have them moved to higher grounds after River Nyando broke its banks.
- 6 May 2024 - MayThe Ministry of Health has developed a raft of mitigation measures to counter the effects of the ongoing flooding in several parts of the country. So far, the Ministry of Health has established a national task force on Response to public health…
- 6 May 2024 - Australia's biggest airline Qantas has agreed to pay a A$100m ($66.1m, £52.7m) penalty to settle a legal case accusing it of selling thousands of tickets for flights it had already cancelled.
- 6 May 2024 - He is set to serve for a five-year term effective May 13.
- 6 May 2024 - Chadians go to the polls on Monday three years after their military leader seized power, in the first presidential election in Africa's Sahel region since a wave of coups.
- 6 May 2024 - Israeli authorities raided a Jerusalem hotel room used by Al Jazeera as its office after the government decided to shut down the Qatari-owned TV station's local operations on Sunday