Skip to main content
Skip to main content

Zaidi ya watu 2,500 wako kambini Transmara ambapo watu hao watasherehekea Krismasi kambini

  • | Citizen TV
    2,009 views
    Duration: 3:23
    Familia zilizotoroka mapigano maeneo ya Angata Barrikoi huko Transmara zinahangaikia kambini huku hali ya taharuki ikiendelea. Familia hizo zitasherehekea sikukuu ya krismasi zikiwa kambini tena chini ya kafyu. Na kama anavyoarifu Chrispine Otieno, familia hizo 2,500 zinahofia kusahaulika huku shirika la Msalaba mwekundu likianza kuwapa msaada wa chakula na bidhaa zingine.