Skip to main content
Skip to main content

Waathiriwa wa maporomoko huko Chesongoch hawana la kusherehekea msimu huu wa Krismasi

  • | Citizen TV
    863 views
    Duration: 3:29
    Mamia ya watu waliohama kwao kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la Chesongoch Kaunti ya Elgeyo Marakwet yaliyotokea mwezi Oktoba hawana la kusherehekea Krismasi hii. Familia hizo ambazo nyumba zao ziliharibiwa na matope zinahuzunika kwa kukosa chakula na makazi.