Skip to main content
Skip to main content

Kiangazi kikali Turkana chatishia maisha ya watoto, wafugaji wahamia Uganda

  • | Citizen TV
    328 views
    Duration: 2:10
    Kiangazi kikali kinaendelea kushuhudiwa kaunti ya Turkana huku watoto chini ya umri wa miaka mitano wakiwa katika hali ya hatari ya kukumbwa na utapiamlo kutokana na ukosefu wa chakula. Wafugaji pia wameanza kuhamia nchi jirani ya Uganda kuwatafutia mifugo wao maji na nyasi.