Skip to main content
Skip to main content

Wakaazi wa Dundori wafunga barabara ya Nakuru–Ol Kalou kupinga ukosefu wa usalama

  • | Citizen TV
    528 views
    Duration: 1:18
    Wakaazi wa eneo la Dundori eneo bunge la Bahati kaunti ya Nakuru wameshiriki maandamano kwa kufunga barabara ya kutoka Nakuru kuelekea OlKalou usiku wa kuamkia leo kutokana kuongezeka kwa visa vya utovu wa usalama.