Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Elimu yatangaza muongozo mpya wa ada, yasema hakuna nyongeza ya karo

  • | Citizen TV
    5,239 views
    Duration: 2:20
    Wizara ya elimu imetoa muongozo mpya wa ada za shule, ikiwahakikishia wazazi kuwa hakuna nyongeza yoyote ya karo. Kulingana na muongozo huo, shule za upili za kutwa zitaendelea kugharamiwa na serikali huku wizara ikiwatahadharisha walimu wakuu dhidi ya kuwatoza wazazi karo zaidi. Serikali pia ikitangaza kutoa shilingi bilioni 44 za mgao wa shule