Skip to main content
Skip to main content

Oparesheni ya madereva wauliokiuka sheria za barabarani yaendelea kaunti nane

  • | Citizen TV
    1,487 views
    Duration: 2:40
    Oparesheni ya madereva wanaokiuka sheria za barabarani imeendelea mwaka mpya huku maafisa wa halmashauri ya NTSA na wale wa trafiki wakiendesha zoezi hilo katika kaunti nane. Jijini Nairobi, magari 17 yalizuiliwa baada ya kupatikana na makosa mbali mbali.