Skip to main content
Skip to main content

Nairobi United yajiandaa kwa mechi ya ufunguzi wa mwaka 2026 dhidi ya Shabana FC

  • | Citizen TV
    296 views
    Duration: 1:02
    Kocha mkuu wa Nairobi United Nicholas Muyoti ameeleza kuwa kikosi chake kiko tayari kwa mechi yao ya ufunguzi wa mwaka 2026 ugenini dhidi ya Shabana Fc uwanjani Gusii jumapili.