Skip to main content
Skip to main content

Viongozi wa kanisa Katoliki waitaka serikali kukaza kamba kupambana na ufisadi

  • | Citizen TV
    627 views
    Duration: 1:17
    Baadhi ya viongozi wa kidini kutoka bonde la ufa kaskazini wameendelea kulaanı visa vya ufisadi vinavyoshuhudiwa humu nchini huku wakitoa wito kwa kila moja kuunga mkono vita dhidi ya uhalifu huo.. Viongozi hao walikuwa wakizungumza mjini Kapsabet baada ya kuongoza misa ya kwanza ya dayosisi ya kanisa katoliki ya Kapsabet.