Skip to main content
Skip to main content

Serikali yaweka masharti mapya kwa bodaboda

  • | Citizen TV
    16,488 views
    Duration: 2:57
    Sekta ya boda boda nchini sasa itakuwa inadhibitiwa na sheria kali, ikiwemo usajili mpya unaoonyesha maeneo maalum ya vituo pamoja na sare za rangi tofauti kulingana na maeneo wanayohudumu. Hatua hizi zinalenga kukabiliana na kuongezeka kwa visa vya uhalifu na uteketezaji wa magari ya watu binafsi na wanaboda boda. Kila kituo pia kitahitajika kuwa na mwenyekiti ambaye atawajibika na kukamatwa tukio likitokea eneo hilo likihusisha wanaboda boda.