Skip to main content
Skip to main content

Duale akabidhi DCI faili 1,188 za SHA, hospitali 85 zafungwa kwa ulaghai

  • | Citizen TV
    8,834 views
    Duration: 2:45
    Waziri wa Afya Aden Duale leo amemkabidhi mkurugenzi mkuu wa idara ya DCI Mohammed Amin zaidi ya faili elfu moja kwa uchunguzi kuhusiana na ulaghai wa bima ya afya ya SHA. Duale akitangaza kufungwa kwa hospitali 85 zinazochunguzwa kwa tuhuma hizi amesema uchunguzi huu utafichua ulaghai kwenye malipo ya bima hii ya afya.