Skip to main content
Skip to main content

Barchok na Wangamati wakamatwa kwa tuhuma za ufisadi wa kaunti

  • | Citizen TV
    6,912 views
    Duration: 2:59
    Gavana wa Bomet Hillary Barchok na Gavana wa zamani wa Bungoma Wycliffe Wangamati watalala seli usiku wa leo baada ya kuzuiliwa kwa tuhuma za ufisadi. Wawili hawa na washukiwa wengine 11 wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kesho kujibu mashtaka hayo ya ufisadi