Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu ashtakiwa

  • | Citizen TV
    374 views
    Duration: 1:27
    Mshukiwa mkuu wa mauaji ya Faith Kemunto, mwanafunzi wa Chuo Kikuu ambaye mwili wake ulifukuliwa jana kijijini Maosi, Nyamaiya, Kaunti ya Nyamira. Gideon Agisa Makori amefikishwa katika mahakama ya Nyamira, pamoja na mshukiwa mwingine, Vinic Kemunto Menyori aliyekuwa amempa hifadhi katika Mtaa wa Huruma, jijini Nairobi.